FRUIT CAKE
MAHITAJI:
Unga wa ngano 11/2 cups Almonds powder 1 cup Dried fruits 1 cup (raisins,sultanas,candied peel)
Cherries 1/2 cup (chopped) Sukari (iliyosagwa) 1/2 cup Siagi 3/4 cup Maziwa 1/4 cup B.powder 1 1/2 tsp
Mayai 4 Arki Almond zilokatwa za kupambia
MATAYARISHO
Changanya unga wako na b.powder na unga wa almond weka pembeni.tia arki kwenye maziwa weka pembeni.saga siagi yako na sukari sana mpaka iwe laini weka yai moja moja huku unaendelea kusaga mpaka ichanganyike vizuri sana tia unga wako kidogo kisha tia maziwa yako yenye arki kisha weka unga
tena weka tena maziwa saga kidogo(hapa hutakiwi kusaga sana lakini unatakiwa uchanganyike vizuri).
Tia fruits pamoja na cherries koroga kwa mwiko kidogo mimina kwenye trey uliopaka siagi (ile trey ya rectangle kama ya boflo ) weka vipande vya almond juu kwa kupamba.choma kwenye oven 170° kwa 45min- 60mins mpaka ikauke vizuri.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO
JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO TAMBI HIZI NI MAARUFU SANA NCHINI MOROKO, NI RAHISI KUANDAA NA NI TAMU SANA KWA...
-
JINSI YA KUPIKA CHAPATI LAINI MAANDALIZI/PREPARATION 1.Kwanza hakikisha unakanda unga vizuri Make sure you knead the dough very well...
-
Urojo ni mchanganyiko wa vyakula mbali mbali pamoja na uji uji wake katika bakuli moja. Hapa nitaeleza jinsi ya kuupika huo uji(urojo) m...
-
MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Nyama ya kusaga kilo kasorobo(3/4) 3/4 Kg Minced Meat 2.Kitunguu maji kikubwa 1 1 Medium size Onion 3.Ker...

No comments:
Post a Comment