Tuesday, 24 July 2018
JINSI YA KUPIKA KABABU ZA MAYAI.
Leo utajifunza jinsi ya kupika kababu za mayai ambazo waweza kula muda wowote asubuhi ama jioni.
inapendeza ukisindikiza na kinywaji chochote baridi aidha juice ama maji ya kunywa.
MAHITAJI.
Mayai 7
Chenga za Mkate
nyama ya kusaga robo kilo.
Tangawizi nusu kijiko.
Mafuta ya kupikia nusu lita.
Mkate
Chumvi kiasi.
Plilipili manga.
JINSI YA KUPIKA KABABU ZA MAYAI.
Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO
JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO TAMBI HIZI NI MAARUFU SANA NCHINI MOROKO, NI RAHISI KUANDAA NA NI TAMU SANA KWA...

-
Futari ya Mihogo na Viaz Vitamu Kila kitu unapokifanya kwa mfululizo kwa muda mrefu kinachosha. Hata kupika nako kunachosha,i...
-
Urojo ni mchanganyiko wa vyakula mbali mbali pamoja na uji uji wake katika bakuli moja. Hapa nitaeleza jinsi ya kuupika huo uji(urojo) m...
-
MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Kuku 1 1 Whole Chicken 2.Mafuta lita 1 1 Litre Cooking Oil 3.Tangawizi iliotwangwa(kusagwa) vijiko vikub...
No comments:
Post a Comment