Thursday 21 June 2018

MAKANGE YA SAMAKI


MAHITAJI

Samaki alokaangwa vipande 3

Vitunguu vichanga vilokatwa katwa kikombe 1

Mafuta ya kupikia vjk 3-4

Kitunguu saum+tangawizi mbichi kjk 1 cha kula

Pilipili hoho rangi 3

Carrot 1

Tomato fresh 2

Chumvi kiasi

Bizari nyembamba + pilipili manga kjk 1 cha kula

Curry powder kjk 1 cha kula

Spice ya samaki kjk 1 cha kula

Bizari ya mchuzi kjk 1 cha chai

Pilipili paste au nzima

Soya sauce ya kukoza vjk 3 vya kula(si lazima)

Maji nusu kikombe
1. Tia mafuta kwenye pan kaanga vitunguu vichanga

2 tia kitunguu saum na tangawizi mbichi,

3.tia pilipili hoho na carrot ulizozikata kata nyembamba na refu,funika wacha ziwive kiasi (dkk 2)

4.tia tomato zilizosagwa au kukatwa katwa na chumvi ,funika wacha dakika 2-3

5.tia samaki wa kukaanga

6.tia bizari nyembamba,pilipili manga,curry powder, spice ya samaki,bizari ya mchuzi, soya sauce,pilipili, vitunguu vichanga,ndimu au limau na maji.

Koroga wacha kwa dakika nyengine 3-5 kwa moto wa kiasi ,mpaka ikauke kiasi ,
8.onja chumvi kama ipo sawa epua na

9.ENJOY

Angalia video hapa


No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO

JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO TAMBI HIZI NI MAARUFU SANA NCHINI MOROKO, NI RAHISI KUANDAA NA NI TAMU SANA KWA...