Thursday, 21 June 2018
MAKANGE YA SAMAKI
MAHITAJI
Samaki alokaangwa vipande 3
Vitunguu vichanga vilokatwa katwa kikombe 1
Mafuta ya kupikia vjk 3-4
Kitunguu saum+tangawizi mbichi kjk 1 cha kula
Pilipili hoho rangi 3
Carrot 1
Tomato fresh 2
Chumvi kiasi
Bizari nyembamba + pilipili manga kjk 1 cha kula
Curry powder kjk 1 cha kula
Spice ya samaki kjk 1 cha kula
Bizari ya mchuzi kjk 1 cha chai
Pilipili paste au nzima
Soya sauce ya kukoza vjk 3 vya kula(si lazima)
Maji nusu kikombe
1. Tia mafuta kwenye pan kaanga vitunguu vichanga
2 tia kitunguu saum na tangawizi mbichi,
3.tia pilipili hoho na carrot ulizozikata kata nyembamba na refu,funika wacha ziwive kiasi (dkk 2)
4.tia tomato zilizosagwa au kukatwa katwa na chumvi ,funika wacha dakika 2-3
5.tia samaki wa kukaanga
6.tia bizari nyembamba,pilipili manga,curry powder, spice ya samaki,bizari ya mchuzi, soya sauce,pilipili, vitunguu vichanga,ndimu au limau na maji.
Koroga wacha kwa dakika nyengine 3-5 kwa moto wa kiasi ,mpaka ikauke kiasi ,
8.onja chumvi kama ipo sawa epua na
9.ENJOY
Angalia video hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO
JIFUNZE KUTENGENEZA TAMBI KWA MTINDO WA KIMOROKO TAMBI HIZI NI MAARUFU SANA NCHINI MOROKO, NI RAHISI KUANDAA NA NI TAMU SANA KWA...
-
JINSI YA KUPIKA CHAPATI LAINI MAANDALIZI/PREPARATION 1.Kwanza hakikisha unakanda unga vizuri Make sure you knead the dough very well...
-
Urojo ni mchanganyiko wa vyakula mbali mbali pamoja na uji uji wake katika bakuli moja. Hapa nitaeleza jinsi ya kuupika huo uji(urojo) m...
-
MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Nyama ya kusaga kilo kasorobo(3/4) 3/4 Kg Minced Meat 2.Kitunguu maji kikubwa 1 1 Medium size Onion 3.Ker...
No comments:
Post a Comment